Header Ads

Breaking News

OKWI: NITAPAMBANA ILI SIMBA ICHUKUE UBINGWA MSIMU UJAO

Image result for OKWI
Mshambuliaji wa zamani wa kikosi cha Simba Emmanuel Okwi ambaye jana amerejea rasmi katika kikosi hicho baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia Simba amefunguka na kusema amekuja kupambana kuhakikisha kuwa Simba inapata ubingwa na kufanya vizuri.
Okwi anasema amefurahi sana kurudi katika timu yake hiyo ya zamani ikiwa chini ya viongozi wapya ambao ambao wanaonekana na njaa ya timu yao kufanya vizuri zaidi hivyo ameahidi kushirikiana nao na kuhakikisha timu hiyo inafanya vyema. 

PATA HABARI HIZI FACEBOOK NA WHATSAPP 
BONYEZA VITUFE HIVI KUJIUNGA
Image result for whatsapp FACEBOOK

No comments