Header Ads

Breaking News

RAISI MAGUFULI ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 139 NA WAKUU WA MIKOA 3

RAIS John Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya 139, huku sura mpya zikitawala, baada ya wengi wa zamani kuachwa.
 Image result for MAGUFULI
Aidha, amefanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa kwa kuteua wakuu wa mikoa watatu, kuziba nafasi zilizoachwa wazi kwa sababu mbalimbali, akiwemo Magesa Mulongo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, aliyeachwa kwenye uteuzi huo.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi iliyotolewa Dar es Salaam jana, inaonesha wakuu wa wilaya wa zamani waliobakizwa ni 39 na wapya ni 78. Katika uteuzi huo uliozingatia vigezo kadhaa ikiwemo umri, kati ya wakuu wa wilaya wapya aliowateua, 22 walikuwa wakurugenzi watendaji wa halmashauri.

Taarifa ilisema wameteuliwa kushika nyadhifa hizo kutokana na utendaji wao mzuri. Kulingana na taarifa hiyo, kwa upande wa kigezo cha umri, wenye zaidi ya miaka 60, Rais Magufuli ameamua wastaafu.

Aidha nafasi 78 za uteuzi wa wakuu wa wilaya zimejazwa na watanzania wengine ambao wameteuliwa kwa mara ya kwanza, wengi wao wakiwa ni vijana, wenye elimu ya kutosha na uzoefu katika maeneo mbalimbali,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo. Uteuzi huo umewezesha wilaya mpya kutambulika rasmi kutokana na kupangiwa wakuu wake

Orodha kamili ya wakuu wa wilaya kulingana na mikoa ni:

ARUSHA
1. Arusha - Mrisho Mashaka Gambo
2. Arumeru - Alexander Pastory Mnyeti
3. Ngorongoro - Rashid Mfaume Taka
4. Longido - Daniel Geofrey Chongolo
5. Monduli - Idd Hassan Kimanta
6. Karatu - Therezia Jonathan Mahongo

DAR ES SALAAM
1. Kinondoni - Ally Hapi
2. Ilala - Sophia Mjema
3. Temeke - Felix Jackson Lyaviva
4. Kigamboni - Hashim Shaibu Mgandilwa
5. Ubungo - Hamphrey Polepole

DODOMA
1. Chamwino - Vumilia Justine Nyamoga
2. Dodoma - Christina Solomon Mndeme
3. Chemba - Simon Ezekiel Odunga
4. Kondoa - Sezeria Veneranda Makutta
5. Bahi - Elizabeth Simon
6. Mpwapwa - Jabir Mussa Shekimweli
7. Kongwa - John Ernest Palingo

GEITA
1. Bukombe - Josephat Maganga
2. Mbogwe - Matha John Mkupasi
3. Nyang’wale - Hamim Buzohera Gwiyama
4. Geita - Herman C. Kipufi
5. Chato - Shaaban Athuman Ntarambe

IRINGA
1. Mufindi - Jamhuri David William
2. Kilolo - Asia Juma Abdallah
3. Iringa - Richard Kasesela

KAGERA
1. Biharamulo - Saada Abraham Mallunde
2. Karagwe - Geofrey Muheluka Ayoub
3. Muleba - Richard Henry Ruyango
4. Kyerwa - Col. Shaban Ilangu Lissu
5. Bukoba - Deodatus Lucas Kinawilo
6. Ngara - Lt. Col. Michael M. Mtenjele
7. Missenyi - Lt. Col Denis F. Mwila

KATAVI
1. Mlele - Rachiel Stephano Kasanda
2. Mpanda - Lilian Charles Matinga
3. Tanganyika - Saleh Mbwana Mhando

KIGOMA
1. Kigoma - Samsoni Renard Anga
2. Kasulu - Col. Martin Elia Mkisi
3. Kakonko - Col. Hosea Malonda Ndagala
4. Uvinza - Mwanamvua Hoza Mlindoko
5. Buhigwe - Col. Elisha Marco Gagisti
6. Kibondo - Luis Peter Bura

KILIMANJARO
1. Siha - Onesmo Buswelu
2. Moshi - Kippi Warioba
3. Mwanga - Aaron Yeseya Mmbago
4. Rombo - Fatma Hassan Toufiq
5. Hai - Gelasius Byakanwa
6. Same - Rosemary Senyamule Sitaki

LINDI
1. Nachingwea - Rukia Akhibu Muwango
2. Ruangwa - Joseph Joseph Mkirikiti
3. Liwale - Sarah Vicent Chiwamba
4. Lindi - Shaibu Issa Ndemanga
5. Kilwa - Christopher Emil Ngubiagai
MANYARA
1. Babati - Raymond H. Mushi
2. Mbulu - Chelestion Simba M. Mofungu
3. Hanang’ - Sara Msafiri Ally
4. Kiteto - Tumaini Benson Magessa
5. Simanjiro - Zephania Adriano Chaula

MARA
1. Rorya - Simon K. Chacha
2. Serengeti - Emile Yotham Ntakamulenga
3. Bunda - Lydia Simeon Bupilipili
4. Butiama - Anarose Nyamubi
5. Tarime - Glodious Benard Luoga
6. Musoma - Dk Vicent Anney Naano

MBEYA
1. Chunya - Rehema Manase Madusa
2. Kyela - Claudia Undalusyege Kitta
3. Mbeya - William Ntinika Paul
4. Rungwe - Chalya Julius Nyangidu
5. Mbarali - Reuben Ndiza Mfune

MOROGORO
1. Gairo - Siriel Shaid Mchembe
2. Kilombero - James Mugendi Ihunyo
3. Mvomero - Mohamed Mussa Utali
4. Morogoro - Regina Reginald Chonjo
5. Ulanga - Kassema Jacob Joseph
6. Kilosa - Adam Idd Mgoyi
7. Malinyi - Majula Mateko Kasika

MTWARA
1. Newala - Aziza Ally Mangosongo
2. Nanyumbu - Joakim Wangabo
3. Mtwara - Dk Khatibu Malimi Kazungu
4. Masasi - Seleman Mzee Seleman
5. Tandahimba - Sebastian M. Walyuba

MWANZA
1. Ilemela - Dk Leonald Moses Massale
2. Kwimba - Mhandisi Mtemi Simeon
3. Sengerema - Emmanuel Enock Kipole
4. Nyamagana - Mary Tesha Onesmo
5. Magu - Hadija Rashid Nyembo
6. Ukerewe - Estomihn Fransis Chang’ah
7. Misungwi - Juma Sweda

NJOMBE
1. Njombe - Ruth Blasio Msafiri
2. Ludewa - Andrea Axwesso Tsere
3. Wanging’ombe- Ally Mohamed Kassige
4. Makete - Veronica Kessy

PWANI
1. Bagamoyo - Alhaji Majid Hemed Mwanga
2. Mkuranga - Filberto H. Sanga
3. Rufiji - Juma Abdallah Njwayo
4. Mafia - Shaibu Ahamed Nunduma
5. Kibaha - Asumpter Nsunju Mshama
6. Kisarawe - Happyness Seneda William
7. Kibiti - Gulamu Hussein Shaban Kifu

RUKWA
1. Sumbawanga - Dkt. Khalfan Boniface Haule
2. Nkasi - Said Mohamed Mtanda
3. Kalambo - Julieth Nkembanyi Binyura

RUVUMA
1. Namtumbo - Luckness Adrian Amlima
2. Mbinga - Cosmas Nyano Nshenye
3. Nyasa - Isabera Octava Chilumba
4. Tunduru - Juma Homela
5. Songea - Polet Kamando Mgema

SHINYANGA
1. Kishapu - Nyambonga Daudi Taraba
2. Kahama - Fadhili Nkulu
3. Shinyanga - Josephine Rabby Matiro

SIMIYU
1. Busega - Tano Seif Mwera
2. Maswa - Sefu Abdallah Shekalaghe
3. Bariadi - Festo Sheimu Kiswaga
4. Meatu - Dk Joseph Elieza Chilongani
5. Itilima - Benson Salehe Kilangi

SINGIDA
1. Mkalama - Jackson Jonas Masako
2. Manyoni - Mwembe Idephonce Geofrey
3. Singida - Elias Choro John Tarimo
4. Ikungi - Fikiri Avias Said
5. Iramba - Emmanuel Jumanne Luhahula

SONGWE
1. Songwe - Samwel Jeremiah
2. Ileje - Joseph Modest Mkude
3. Mbozi - Ally Masoud Maswanya
4. Momba - Juma Said Irando

TABORA
1. Nzega - Geofrey William Ngudula
2. Kaliua - Busalama Abel Yeji
3. Igunga - Mwaipopo John Gabriel
4. Sikonge - Peres Boniphace Magiri
5. Tabora - Queen Mwashinga Mlozi
6. Urambo - Angelina John Kwingwa
7. Uyui - Gabriel Simon Mnyele

TANGA
1. Tanga - Thobias Mwilapwa
2. Muheza - Mhandisi Mwanaisha Tumbo
3. Mkinga - Yona Lucas Maki
4. Pangani - Zainab Abdallah Issa
5. Handeni - Godwin Crydon Gondwe
6. Korogwe - Robert Gabriel
7. Kilindi - Sauda Salum Mtondoo
8. Lushoto - Januari Sigareti Lugangika


Chanzo: gazeti la HABARI LEO.

No comments