Header Ads

Breaking News

SIMULIZI YA KUSISIMUA SEHEMU YA PILI: SINA WA KUMLILIA



kwa sehemu ya kwanza ya simulizi bonyeza hapa

ILIPO ISHIA SEHEMU YA KWANZA.

Ndipo hasani akatoa kisu alicho kidumbukiza ndani ya siluali yake...

SASA INAENDELEA

Akanibamiza nacho shavuni kwa hasira, sikuwa na jinsi tena ilinibidi niseme huku nikitetemeka kwa woga, nilihisi ndio mwisho wa maisha yangu. "Ni mpenzi wangu" na huyu? Nikaulizwa swali jingine nikasita kidogo "naye mpenzi wangu" na hhuyu na huyu? "wo.... wo... wote" niliongea kwa wasiwasi mkubwa kwani Nikiwa naongea haya yote kisu kilikuwa kinanusa na kulamba shingo yangu.

Ndipo wakaniamuru nitoe nguo zangu zote. "Naomba nisamehe" nililalama kwa uchungu. Lakini yote ilikuwa kazi bure. "Wewe ulituchanganya ulijua hatutafahamiana malaya mkubwa" nilisikia sauti ikisihi.

Bila kutarajia nguo zangu zote zikachanwa nkajikuta nipo kitandani ndipo wakaanza kunisurubisha kwa zamu. Nilifungwa kitambaa mdomoni sikuweza kupiga kelele za kuomba msaada. Ghafla nikapoteza fahamu sikujua tena kilichoendelea baada ya hapo.

Kuja kugutuka nkajikuta nipo kitandani, kuangalia pembeni kulikuwa na mdada aliye valia nguo nyeupe.
 "Taratibu utanjichoma umewekewa drip ya maji" aliongea kwa upole. "Lakini natafuta nn hapa na wewe ni nan?" "Upo hospitalini usijari", yule mdada alijibu. "$asa nimefikaje hapa?" Uliletwa jana usiku. Ndipo nikaanza kukumbuka matukio yote ya jana jinsi ilivyo kuwa.

Nikaanza kudondosha chuzi bila kujijua. Tulia usilie nes yule alinisihi, nilijilaum sana kwa mambo niliyo yafanya ila ndo ilikuwa imetokea sikuwa na jinsi tena.

Baba yuko wapi na amepata taarifa hizi? Niliuliza, akasita kidogo alionekana ni mtu asiyetaka kunipajibu lolote. tafadhari niambie nesi, naomba mungu baba yangu asiwe amesikia habari hizi maana baba yangu ana presha nitampoteza baba yangu.

"Babayako alifika jana ulivyokuwa umezidiwa alipewa taarifa na jeshi la polisi, akafika kukuona lakini...."
Alisita kidogo. Lakini nini?
Baada ya kufika hapa presha ilipanda akadondoka hadi sasa kalazwa kwenye chumba cha wagonjwa maututi.

Niliumia sana nkajilaum sana maana nilibakiwa na baba pekee baada ya mama yangu kufariki kwa ajari ya gari tangu nikiwa mdogo na nkalelewa na baba pekee na nilikuwa mtoto wa pekee kwa babayangu alinipenda sana. Mara nes akaondoka baada ya kuitwa na mgonjwa mwingine sikuwa na mtu wa kumuliza maswali tena.

Mnamo muda wa saa tisa alasiri nikapokea taarifa ya kifo cha baba yangu. Niliumia sana maana ndo guzo yangu pekee iliyokuwa imebaki.

Nisamehe baba yangu, najua haya yote nimeyasababisa mimi.. kwanini niliyafanya haya! Nimlaum nan mimi, uzuri wangu? Wazazi wangu walionizaa mzuri au baba yangu aliye nidekeza na kuniruhusu kufanya kila kitu?

Asubuhi nilichukuliwa hosipitalini kwenda kuaga mwili wa baba yangu mpenzi. Niliumia sana, nitaificha wapi sura yangu? Maana kila mtu alikuwa amepata taarifa yangu.

Wengine walinikebehi nikiwa nawasikia huyu ndiye aliye gonganisha wanaume. Wengine walisema aliye sababisha kifo cha baba yake. Wengine wakanifuata na kunambia nyamaza unalia nini sasa.

Kila mtu alinichukia hata ndugu zangu walinichukia, nilifedheheka sana. Hapo ndipo maisha yangu yalipo anzia kupoteza mwelekeo.....
USIKOSE SEHEMUINAYOFUATA

Kwa ushauri, maoni au mapendekezo
 wasiliana na mtunzi
SIMU NO 0655425315
EMAIL: sangageophrey@gmail.com

No comments