Header Ads

Breaking News

JINSI YA KUSOMA SMS ZA MPENZI WAKO HATA AKIWA MBALI

Habari yako msomaji wa blog hii. leo nataka nikupe njia moja wapo ya kuweza usoma sms zinazoingia kwa mpenzi wako bila kushika simu yake au hata kama akiwa mbali unakuwa na uwezo huo wa kusoma text zake zote zinazo ingia kwake.

Njia hii itasaidia sana kupunguza michepuko kwa mppenzi wako.
FUATA HATUA ZIFUATAZO

  1. Hatua ya wanza unatakiwa kuchukua simu ya mpenzi wako, rafiki, au mtu yoyote unaye taka kutrace simu yake,   mnapo kutana kwa mara ya kwanza au siku yoyoyte.
  2. Hatua ya pili, fungua play store kwenye simu ya mpenzi wako na uinstall app itwayo Touch My life      
 Hii ni kama unaye taka kutrace simu yake kama anatumia adroid phone

ukisha install app hiyo unakua ushamaliza kazi na unaweza kusoma sms au kuanalia call log za mpezi wako au rafiki yako kwa kufanya yafuatayo kwenye simu yako.

                             


 Namna ya kupata au kusoma sms baada ya kumaliza hatua za mwanzo. Tuma neno SENDSMS imailyako@gmail.com



Kupata au kuangalia call log tuma neno SENDCALLLOG emailyako@gmail.com
                                       
Kuangalia  picha kwenye simu ya mpenzi wako tuma neno SENDPHOTO emailyako@gmail.com

kuangalia majia aliyo save il kuangalia amekusevuje tuma SENDCONTACTLIST emailyako@gmail.com 

NB: sehemi iliyo andikwa emailyako@gmail.com  unatakiwa kuandika email yako

USISAHAU KUWEKA COMENT YAKO HAPA CHINI

No comments